Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na  aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Dkt. Asha Rose Migiro ikulu jijini Dar es Salaam leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana baada ya  kufanya mazungumzo na  aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Dkt.Asha Rose Migiro ikulu jijini Dar es Salaam leo. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2012

    Mhemishimiwa Kikwete:
    Kama bado kuna nafasi za wabunge wa viti maalum mteue ili taifa linufaike na experience yake. She is a great asset Mr. President!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2012

    Raisi: Unataka nafasi gani sasa?
    Migiro: Mhe. Naomba uniache nimpuzike kwanza, tupime upepo wa 2015.
    Raisi: Haya sawa, kwaheri.
    Migiro: Asante sana, mhe Raisi kazi njema. Bye.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2012

    NIMEPENDA SANA HII NUKUU YA MDAU WA 06.27.00.AM 2012

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...