Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimsikiliza Bw. Kitwana Makame Haji, mmoja wa majeruhi walionusurika katika ajali ya meli waliolazwa katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja mjini Unguja jioni hii.
Rais Jakaya Kikwete akimpa pole Bi Salome Abeli, mfanyakazi wa Tanzania Automic Energy Commission jijini Arusha, aliyekuwa njiani kuelekea Pemba kikazi kabla ya kupatwa na ajali hiyo ya meli. Amesema hali yake inaendelea vyema hapo katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja, Unguja
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipita mbele ya miili ya waliokufa katika ajali hiyo ya meli jana karibu na kisiwa cha Chumbe. Hapa ni uwanja wa Maisara ambako miili huletwa kwa kutambuliwa.
inna lillahi waina ilahim rajiun
ReplyDeleteWhy lakini???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
ReplyDeleteWAZO LANGU KWA SERIKALI KUTUMIA JESHI LA MAJINI KUOKOA AJALI ZA MELI NAAMINI TUNA JESHO LA WANAMAJI DAR ESALAAM NA ZANZIBAR KWA NINI WASIWE WAKIFANYA WOKOZI.
ReplyDeleteKIPEPEO TOURS