Kuna mdau katutumia hii,anasema huko kwao, utaratibu wa kuingia kwenye daladala ni abiria mwenyewe anavyopenda, akipenda pitia mlangoni, au kipenda dirishani,yote sawa. HAKATAZWI NA MTU, Cha muhimu awe na nauli yako tu.si mnaona hapa na Konda anamsaidia abiria wake kuingia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2012

    Sio suala la kupenda, ukisubiri nafasi ya kuingia kupitia malangoni hupati!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2012

    Tabia ZINAZIDI KUWA MBAYA HATA KWA MTU AKIGONGA AKIULIZWA NANI MWENZANGU MTU ANAJIBU MIMI AU MIE BADALA YA JINA LAKE AKIGONGA HAJAJIBIWA NA WENYENYUMBA BASI ATAZUNGUKA HATA UWANI KAMA KWAKE VILE UKIONA HUJAJIBIWA HATA KAMA UNAUHAKIKA WATU WAPO FIKIRIA USTAARABU HUJUI WANALAO LIPI, WA-TANZANIA TUNAPENDA KULAZIMISHIA MAMBO TUVUTE SUBIRA. MZ

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2012

    Hata Dodoma,Jamatini ikifika mida ya saa moja jioni,hali inakuwa ni mbaya sana,magari ya kwenda kisasa,Ipagala,Area D,na Kikuyu ni kasheshe kubwa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2012

    Mbagala ni hadi huko kwenye mabasi ya Mikanda myekundu?

    Watu Ohhh Mbagala shida ya usafiri kakwambieni nani?

    Hata Oysterbay na Masaki pana shida ya usafiri kama utaenda kwa kutumia Daladala!

    Mlisha jaribu kutokea Posta Mpya Dar Es Salaam kwenda kwa kutumia Daladala Oysterbay au Masaki asubuhi kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 3?

    Jaribuni muone kazi!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 13, 2012

    ni mkoa gani jambo hili linatokea muungwana ukiletewa kitu basi fafanua ni wapi kitu hiki kinatendeka

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 13, 2012

    Pumbafu kama hawa dawa yao viboko tuu.

    Halafu ndiyo mnasema eti bongo tambarare, sasa hii ndiyo tambarare gani.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 14, 2012

    Wachache waliosoma na kuwa ana college diploma wanaweza kufanya hivyo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...