Kaka Michuzi,
Hii sijui kama imekaa sawa. Eneo la Ubungo jijini Dar es salaam Catapiller yenye tairi za chuma ikikatiza kwenye lami
Picha na mdau,Ubungo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Zebedayo. Mara nyingi huko nchi za Ulaya na Uarabuni, catapillar kama hili hubebwa kwenye tela , lakini kwa vile kiwango chetu cha lami kiko juu!! basi hakuna shida. Kwani wewe uliyeleta hii picha ,umeona limetoboa toboa barabara ?? Hapo mwenzio anawahi kazini, hizo taili za minyororo usiogope, angalia kiwango cha lami zetu. Bongo ni peponi na kila kitu kinawezekana. Zebedayo,msema kweli.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2012

    nakubaliana na wewe lami yetu ya hapa bongo iko imara ...hii sio lami ya LONDON .....ila ajabu wale wa uk leo wamekaa kimya sana hawasemi kitu wao au hii sio LONDON ....MAANA KILA KIZURI KWAO NI LONDON TU......hahahahahah

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 24, 2012

    hiyo barabara inatengenezwa, na hiyo lami inaondolewa mdau! Pandisha hapo Kibo utaona kinachoendelea.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2012

    Barabara ipo kwenye matengenezo wanakwangua lami yote jana walikuwa kuanzia Kibo mpaka Bucha hivyo usishangae fuatilia ujue undani wake

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 25, 2012

    Yes..hii barabara iko kwenye major reform kwa ajili ya kuaccomodate Rapid Transit Traffic, kwa hiyo lami yote hiyo itaondolewa na kuwekwa kwenye mfumo mpya, kwa hiyo sio hatari hilo caterpillar kupita coz lami yote hiyo itatolewa....

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 25, 2012

    Katumwa na Magufuli a-test ubora wa rami!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 25, 2012

    Sasa yeye afanye nini? Polisi wapo mbona hukuenda kuripoti ili hatua zichukuliwe? Acha tuchape kazi wewe, mbona kuna mengi ya kuyasemea au huyaoni?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 25, 2012

    Tatizo la wa TZ hukimbilia kwenye lawama kabla ya kufanza uchunguzi, haya sasa wadau wamekutoa nduki. Siku zote hayo madubwashona yanabebwa huku Tz. hata kwenye barabara za vumbi. Fanya uchunguzi ndo uanze kuandamana sio unapoteza muda wa kupiga mijipicha ili Magufuli achukue hatua......itasaidia nini na ishaharibika!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 25, 2012

    kama unalalamika kupita kwenye hiyo barabara,waambie waunde tume kwanini linapita kwenye hiyo barabara

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 28, 2012

    Ulitaka ipite hewani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...