Waziri wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe akitunukiwa Uwakili na Jaji Mkuu Othman Chande.
Baadhi ya Majaji wakifuatilia hafla ya kuwatunuku Mawakili wapya wa Serikali leo.
Katibu Msaidizi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Angela Bahati Salema akiwa na familia yake mara baada ya kutunukiwa Uwakili leo
Baadhi ya Watunukiwa wakiwa katika hafla hiyo.
Katibu Msaidizi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (Mapitio) Angela Bahati Salema akisalimiana na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju mara baada ya kutunukiwa uwakili wa Serikali na Jaji Mkuu Othaman Chande
Jaji Mkuu Othman Chande akiwa na watunukiwa wa Uwakili.


I am so proud of Angela Bahati, GO JANGWANI GIRLS!!!!!!
ReplyDeleteclassmate Jangwani