Mkurugenzi wa Tanzania One Thetre (TOT) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi, Mh. John Komba akizungumzia hali ya afya yake, alipowaita waandishi wa habari, nyumbani kwake, Mbezi Tangi Bovu,jijini Dar es Salaam, leo baada ya kurejea nchini kutokea India alikokuwepo kwa matibabu. Kushoto ni Mkewe, Salome Andrew Komba.
Home
Unlabelled
MH. JOHN KOMBA AREJEA NYUMBANI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI INDIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Captain, au ni mzimu wa Kanumba?
ReplyDeletewatanzania tukishakua na hela ya nyama choma na bia mbili, mitumbo hiyoooo, sio afya hii jamani.ni kukaribisha Heart diseases, kisukari, kideny failures, colon cancer you name it....
ReplyDeleteNdio maana hospitali zetu walalahoi hazina vifaa wala dawa..kila kisiki(sio kigogo tena)anaenda kutibiwa huko.. nasi wananchi tunahitaji matibabu bora kama nyie visiki..arghh
ReplyDeleteSio Ze Fulanazzz ya Ankali hiyo?
ReplyDeletewewe hapo juu, acha zako za kuchonga, kwani nyama choma na bia 2 kuna kosa gani ?? nyie huko UK mkifanya BBQ aaa!! sisi hatuoni noma, sisi tukichoma kanyama ketu kosa.Kingine tumbo siyo ugonjwa hasa matumbo yetu ya bongo ambayo yamejaa misuri,siyo kama ya kwenu huko ya mavitu vitamu kuanzia asubuhi mpaka saa sita za usiku,chocolate, ice cream,desert yaani you name it. Hayo matumbo ndiyo hayatakiwi maana yamejaa sukari na kuifanya mishipa ya damu kuziba .Usijifanye daktari kumbe una beba box.Zebedayo msema kweli
ReplyDeleteZe Fulanazzz ya Ankali haiwezi kumtosha komba. Mwili kabati si umechecki mwenyewe?
ReplyDeletehahahaha umenifurahisah wewe uliyesema fulana na ankalaaa jmnii zinatokaga nyingi na yeye ni 1 wao alionunua kuhusu vifaa mahospitali haviwezi kuwepo kamweee maana wahusika wakuu wanatibiwa nje ya nchi na wkt wangekuwa wanatibiwa humu basi tungepata kila kitu
ReplyDeletemeggie impostra
hivi kumbe ana mke?
ReplyDeleteSishangai huyu jamaa kuugua. Alikuwa amenenepeana mpaka anatembea na bakora mbili. Huwezi kuwa na mwili kama ule halafu usiwe na matatizo ya kiafya,
ReplyDeleteDUH! Kwanza hii FULANAZZZZ!! nilistuka sana nilifikiria fulanazzz ya Ankal Michuzi,kumbe siyo ! kwanza hata kama Ankal angeuza Fulanazzz Komba isingemtosha!
ReplyDeleteSasa hii Fulanazz ! ya Ankal huyu kaipataje ? harafu inaelekea kaiongezea vipande hili imtoshe
ReplyDeleteDUH! Kwanza hii FULANAZZZZ!! nilistuka sana nilifikiria fulanazzz ya Ankal Michuzi,kumbe siyo ! kwanza hata kama Ankal angeuza Fulanazzz Komba isingemtosha!
ReplyDeleteHakuna upasuaji wowote walioufanya India mbona Tumbo(Pakacha) bado kubwa
ReplyDeleteAH ! wewe ! Komba vipi? umekalia kiti cha mtoto mdogo ! ndio kusema kule India wamekucha sehem za chini tu na tumbo wamesahau ?
ReplyDeletewe masikini jeuri zebedayo, ujinga ndio unatuua hamna kitambi chenye misuli we msukuma..unafikiri kwa sababu unakula ugali kilo mbili na kitambi kigumu kama umekula cement ndio afya...fungua macho au na wewe utakufa kabla hujafika miaka 50...
ReplyDeleteTunakuombea afya na uzima mh.Komba. Nakumbuka nyimbo zako za uzalendo wakati nilivyokuwa teenager mpaka leo nikikumbuka chozi lanidondoka. Mungu atakulinda,mdau ughaibuni
ReplyDeleteNaona kama amepungua vile..,watakuwa wamemfanyia operation kuondoa mafuta tumboni. Lol.
ReplyDeleteJamaa noma, mpaka kakalia viti viwili kwa pamoja, (pink na bluu). Angethubutu kukalia kimoja angeokotwaje!
ReplyDeleteyaani Komba kakalia kiti cha mtoto kweli wamempunguza maeneo ya chini
ReplyDelete