Mwanahabari mahiri wa TBC mpiganaji Benny Mwaipaja akimhoji Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hussein Mwinyi jijini London, Uingereza, kabla ya mkutano wa kimataifa wa Uzazi wa Mpango. Mpiganaji Mwaipaja ni mmoja wa wanahabari nguli wanaofanya vyema katika tasnia hii akiwa katika kituo chake cha kazi mkoani Manyara
Home
Unlabelled
wapiganaji benny mwaipaja na orton kiishweko wakiwa kazini London
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Pigeni mzigo taifa linawategemea
ReplyDelete