Nasikitika kuwafahamisha kuwa Mtanzania mwenzetu, Abraham Khamis (pichani), amekutwa amefariki dunia chumbani kwake hapa Edmonton. Baada ya kuwasiliana na ndugu wa marehemu huko nyumbani, Tanzanian Community Association of Northern Alberta (TANA) kwa kushirikiana na marafiki wa karibu wa marehemu tumeanza kufuatilia maswala ya kumzika mwenzetu huyu hapa Edmonton na makadirio ya gharama zilizopatikana kutoka funeral homes ni kiasi cha Can$ 7,000. Ili kuwezesha shughuli hii kufanyika, michango yenu ya hali na mali inahitajiwa. Tafadhali tuma mchango wako kwenye akaunti ya umoja wa WaTanzania, Edmonton (TANA) kama ifuatavyo:
Akaunti namba/Account No: 04089 003 1018118
Jina la Akaunti/Account Name: TANA
Au tuma kwa interac e-mail kwa:
TANA President, H. Katalambula, hhhk2@yahoo.com,
TANA Treasurer, H. Kuffar, henru98@yahoo.ca au
TANA Secretary, G. Mollel, gmollel@gmail.com.
Kwa maelezo zaidi au kutoa mchango wako kwa njia nyingine tofauti, wasiliana na:
Harrison Phudjo,
Karama Arewi,
Ally Salum (Babu),
Ashraf Safi,
Swala hili ni zito kwa hiyo ninaomba tusaidiane ili tuweze kumpumzisha mwenzetu.
Tafadhali sambazeni taarifa hizi kwa wote ambao mnadhani hawanazo.
Natanguliza shukrani.
H. Katalambula,
President, TANA.
INNALILAH WAINA ILAYHI RAJIUN...POLENI SANA WAFIWA
ReplyDeletejamani hebu nisaidieni hakuna vyma vya kufa na kuzikana kwa Watanzania wenzetu walioko nje?Au hakuna hata mfuko wa kusaidiana kwa nyie mnaoishi nje?Kwa kweli napata simanzi sana nionapo tangazo la tanzia la Mtanzania mwenzetu aliyefia huko,halafu kutwa kucha kuomba michango.Hebu jamani kuwe na chama kwa ajili ya haya mambo.
ReplyDelete