Tulieni niwape Somo Vijana!!!! Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, akitoa Somo kuhusu Masuala ya Kibunge kwa waandishi wa Habari Bungeni leo mara baada ya kuarishwa kwa kikao cha Bunge Mchana. kutoka Kushoto na vyombo vyao ni Manyerere Jackton (Jamhuri), Matiko (Mpiga picha wa Kujitegemea) Deudatus Mushi( Raia Mwema), Cosmas Hinju (Uhuru), Stan Likomawagi (Radio mwangaza), Omar Fungo (Nipashe) na Rodgers Luhwago (Guardian). Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...