Afisa Sheria wa Tume Mercy Mruru akiwasilisha mada mbele ya washiriki wa mkutano ambao ni wawakilishi kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali, viongozi wa dini, wazee, watendaji wa serikali na walimu wakuu wa shule za sekondari wilaya ya Kigoma 
 Katibu Tawala wa Wilaya Bw. Moses Msuluzya akitoa ufafanuzi wakati maafisa wa Tume ya Kurekebisha Sheria walipokuwa wakitoa elimu ya sheria kwa umma mkoani Kigoma.
 Washiriki wa mkutano huo wakiwa makini kufuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na maafisa wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Baadhi ya Wazee na Viongozi wa dini wakiwa makini kufuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa na maafisa wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania


Washiriki wa mkutano huo wakiwa makini kufuatilia mada. Picha zote na Ofisa Habari wa Tume ya Kurekebisha Sheria Munir Shemweta

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...