Home
Unlabelled
UBUNIFU KUTOKA KIJIJINI NARUNYU WILAYA YA LINDI MJINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Inamaana lindi bado wako nyuma sana kimaendeleo, maana sisi wenzao tumeshapita kwenye nyumba za miti na kuezeka nyasi, Ok! wajitahidi basi watukute wenzao.
ReplyDeleteWewe nyumba za miti hata hapa dar zipo cio lindi pekee, kwa jumla tanzania wote bado tukonyuma xana
Deletekwanza wafanye ubunifu wa kujenga nyumba bora kwa kutumia raslimali zao kama miti na nyasi, sio ubunifu wa kupoteza muda
ReplyDeleteHuu ndiyo uzuri wa bongo jamani, hakuna cha nani care wala nani care ,bongo tumezoea kujitegemea,do or die. Basi tu wazungu wametuletea haya ma TV ndiyo maana unaona siku hizi tunaandamana na migomo haiishi,shauri ya kuwaiga nyie huko mliko. Angalia kono la huyo mtoto hapo,na hapo kanywa uji tu wa ukwaju,akikuachia ngumi, wewe unayekula Mcdonald,kizunguzungu lazima utakiona, hajui kuandamana wala kuisubili serikali impe (food stamp) kuponi ya kula bure, eti mmeendelea ,kumbe uzembe mtupu. Bongo ni peponi. ni mimi Zebedayo msema kweli.
ReplyDeleteThat's the spirit needed!
ReplyDeletewakasome waache kupoteza muda... kama wanabuni basi waangalie preference of scale.
ReplyDelete