Agosti 2, 2012 ni siku ya kukumbukwa sana kwa Mtoto Magdalen Christopher baada ya kuhitimu masomo yake ya Elimu ya Chekechea katika shule ya Brookhouse International School iliyopo Morocco jijini Dar es Salaam na mwakani 2013 ataanza darasa la kwanza. Mahafali hayo yalifanyika jana.

Magdalen (kulia) akiwa na rafiki zake wakati wa mahafali yao. Magdalen akila pozi na wazazi wake Bwana na Bibi Christopher Makwaia (MK)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...