Habari ankal
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wasafirishaji wa Qatar airways na blog yetu ya jamii kwa kufanikisha kufika mzigo wangu.
 
Baada ya jitihada za muda mrefu za kufuatilia begi langu, hatimaye jana nimelipata likiwa salama.
 
Asante wote
 
mdau  Khamisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...