Jahazi Modern Taarab chini ya Mfalme Mzee Yusuf watafanya onyesho kubwa na la aina yake 
Jumapili 26/8/2012 ndani ya ukumbi wao wa nyumbani, Travertine Hotel Magomeni a.k.a Nou Camp.

Onyesho hilo lililopewa jina la "Usiku wa Sina muda huo" litakuwa ni la kwanza kwa Jahazi ukumbini hapo baada ya mfungo wa Ramadhani.
Kwa mujibu wa Mzee Yusuf, Jahazi watashuka na vionjo vipya kabisa walivyoviandaa kwa mwezi mzima wa mapumziko ya mwezi mtukufu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kiingilio Sh.8000 !!
    Kumbe bongo watu wana pesa namna hii?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...