CUF – Chama Cha Wananchi, kitafanya Mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Jangwani siku ya Jumapili tarehe 09/09/2012 kuanzia saa 6 mchana hadi 12 jioni.
Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.
Nyote mnakaribishwa!
ASIBAKI MTU NYUMBANI
Ni “Mchakamchaka mpaka 2015”
Hakiiiiii....!
Sawa Kwa Wote!!!!
ReplyDeleteKiboko ya kisonge.
how did this post get to michuzi blog?au ndio cuf ni kivuli cha ccm??
ReplyDelete