MWALIKO WA WANACHAMA NA WANANCHI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE DODOMA KUANZIA TAREHE 30 JULAI – HADI 8 AGOSTI 2012
Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unawakaribisha wanachama wote wa Mfuko na wakazi wa Mkoa wa Dodoma na vitongoji vyake katika viwanja vya Nzughuni kwenye Maonyesho ya Nane Nane katika banda la Wizara ya Fedha.
Katika Maonyesho haya wanatoa huduma zifuatazo:
1.   Kupata taarifa ya michango kwa mwanachama
2.   Kutoa taarifa ya malipo ya mafao kwa wastaafu na wategemezi
3.   Usajili wa wanachama ambao hawajasajiliwa
4.   Uhakiki wa wastaafu na wategemezi wote ambao hawakuweza kuhakikiwa mwezi Julai 2012.
5.   Taarifa ya Uwekezaji wa Mfuko

 “HIFADHI YA JAMII KWA WOTE – JIUNGE NA PSPF”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...