Mwanasheria wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Makao Makuu,Grorious Luoga (kulia) akikabidhi mchango wa shilingi 100,000 kwa chama hicho Wilaya ya Songea vijijini ili ziweze kusaidia katika mchakato wa chaguzi mbalimbali ndani ya chama,kushoto katibu wa chama hicho songea vijijini,Lidya Gunda.
Mwanasheria wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Grorious Luoga (kulia) akiwa na mama yake mzazi Antonia Mselewa kushoto baada ya kuchukua fomu ya kuomba kuchaguliwa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho kupitia wilaya ya Songea vijijini,katikati katibu wa chama wilayani songea Bi Lidya Gunda.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...