Mbunge wa jimbo la Isimani Mhe.Wiliam Lukuvi (kushoto) akipokea vitabu kutoka kwa meneja wa mawasiliano wa PPF Bi. Lulu Mengele
Mbunge Wiliam Lukuvi (kushoto) akipokea vifaa vya michezo jezi na mipira ambayo PPF imeitoa kama wajibu wake wa kushirikiana na jamii kulazimika kutoa vifaa hivyo na vingine kwa shule ya sekondari vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya TSh. milioni 6.8
Mbunge Lukuvi akifurahia vifaa vya PPF vilivyotolewa jimboni kwake

Wananchi wakishuhudia makabidhiano hayo ya vifaa vya michezo  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...