Msanii mkali wa Muziki wa Hip Hop hapa nchini,Roma Mkatoliki akitoa burudani kabambe kwa washabiki wake walikuwa wamefukika kwa wingi katika viwanja vya Fukwe ya Coco Beach,jijini Dar es Salaam jioni ya leo ikiwa ni bonanza la vinywaji visivyo na kilevu vya Grand Malt na Vita Malt kutoka kampuni ya bia Tanzania (TBL).
Wasanii wa Kundi la TMK Wanaume Family,Chegge na Temba wakifanya vitu vyao wakati wa Bonanza na Grand Malt na Vita Malt,kwenye viwanja vya Fukwe ya Coco Beach jijini Dar es Salaam leo.
Jukwaa la ukweli na lakisasa ndilo lililokuwa limefungwa leo.
BOFYA HAPA KUPATA UHONDO WA MAPICHA KEDEKEDE
BOFYA HAPA KUPATA UHONDO WA MAPICHA KEDEKEDE






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...