Watangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu akiongea na wakazi wa jiji la Tanga na vitongoji vyake juu ya ujio wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linalotarajia kulindima kesho Jumapili Uwanja wa Mkwakwani na kupabwa na wasanii mbali mbali ikiongozwa na Prezzo kutoka Kenya. Kiingilio cha shilingi elfu tano (5,000).

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...