Assalaamu Alaykum Wapendwa katika Imani,
Kama mjuavyo, Inshaallah Eid El Fitr itasherehekewa kati ya Jumamosi 18-08-2012 au
Jumapili 19-08-2012 kutegemea mwandamo
Ufuatao ni utaratibu wa Sherehe zetu hapa katika mji wa Leicester, Uingereza:
Inshaallah Sala ya Eid itasaliwa katika ukumbi wa Taylor Road School na kufuatiwa na Kifungua kinywa kwa utaratibu huu:
TAKBEER: Zitaanza Saa Mbili Kamili (8.00am)
SALA YA EID: Itasaliwa Saa Mbili na Nusu (8.30am)
PAHALA: Taylor Road School, Taylor Road, Leicester, LE1 2JP
KIFUNGUA KINYWA: Baada ya Sala Waumini watakwenda kupata kifungua kinywa
PAHALA: 1st Floor, Kocha House, Malabar Road, Leicester, LE1 2PD

MADRASATUL NOOR COMMUNITY yakutakieni nyote
EID MUBAARAK!!!
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi:
Simu: 07982124581 au e mail: madrasatulnoor.01@gmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...