Daud Msungu (kushoto)-Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti (Bara), Matulanga (wapili kushoto)-mgombea nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa Dar, Lihami na Mgombea mwingine kutoka Dar es salaam, wakiwa wanajadili jambo nje ya ukumbi wa white house uliopo Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jijini Dodoma, leo tarehe 08 sept 2012.
 Wagombea mbalimbali wa Jumuiya ya Umoja wa vijana Wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wakiwa nje ya ukumbi white house, tayari kwenda kwenye mahojiano na Kamati ya Utekelezaji ya Taifa ya Umoja huo iliyokutana leo tarehe 08 sept 2012.
 wagombea wakibadilishana mawazo kabla ya kukutana na kamati ya utekelezaji ya Taifa ya Umoja wa Vijana CCM, ambapo watahojiwa juu ya Nafasi mbalimbali za ngazi ya Taifa walizogombea katika Umoja huo.
Wagombea mbalimbali wa Uongozi wa Jumuiya Ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) kutoka Tanzania Bara na Visiwani wakiwa katika picha ya Pamoja Nje ya Ukumbi wa whitehouse uliopo katika Ofisi za MakaoMakuu ya Chama hicho, Jijini Dar es salaam,leo tarehe 08 Oct 2012. Wagombea hao wapo Dodoma kukutana na Kamati ya utekelezaji ya Taifa ya Umoja Huo kwa ajili ya mahojiano juu ya Nafasi hizo walizogombea ambazo ni nafasi ya M/kiti, Mkamu M/kiti, Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Vijana Taifa pamoja na Wajumbe wa Baraza kuu la Vijana Taifa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. wakuchutama nimekusoma ebwanaee unatisha yaani umefikia vigezo vya kugombea nafasi za ngazi ya taifa kutoka ngazi ya cebe, na coet.hongera eng.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...