Hayati Mzee Paschal Sephania Mng'anya

Baba yetu mpendwa leo unatimiza miaka  2 tangu hapo ulipotutoka september 2010.unakumbukwa 
 sana na mke wako Catherine,watoto zako  Michael, Dismas, Rachel, Deodat, Petro, Minja, Herman!  na wajukuu
 zako Jane,Agnes, Junior na Paschal pamoja na ndugu,jamaa na  marafiki.

Daima utakumbukwa kwa busara zako,ucheshi na  mafunzo mengi uliyokuwa unatueleza.tulikupenda sana lakini  Mungu alikupenda zaid. Mwenyezi Mungu akupumzishe kwa amani  Baba yetu Mzee Paschal Sephania Mng'anya 
Ameeen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...