Mshambuliaji Amour Omar wa Bandari (kushoto) akijaribu kumpita Makame Haji wa KMKM katika pambano lao la ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar. Bandari ilishinda mabao 2 - 1.
Mshambuliaji wa KMKM, Kasim Nemshi (kushoto) akiwatoka walinzi wa Bandari.
Mshambuliaji wa KMKM (kushoto) akipiga mkwaju kuelekea lango la Bandari
Picha zote na Martin Kabemba wa Globu ya Jamii, Zenji.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...