Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar akiwa kwenye mkutano na viongozi wa Jumuiya mbalimbali za Watanzania DMV kama sehemu ya maandalizi ya Siku ya Mtanzania tarehe 15 Septemba 2012.Kwa kupitia viongozi hao, Mhe. Balozi anaomba Watanzania wote kujitokeza kwa wingi na kuleta wageni (wamarekani) ili kuitangaza Tanzania.
Home
Unlabelled
Maandalizi ya Siku ya Mtanzania - Zimebaki siku MBILI TU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...