Picture: Mtibwa Sugar 2012
Mtibwa Sugar leo iliundwa na: Shaaban Hassan Kado, Malika Ndeule, Issa R Issa, Dickson Daudi, Salvatory Ntebe, Shaaban Nditi, Jamal Mnyate/Babu Seif Ally, Awadh Juma, Hussein Javu, Shaaban Kisiga ‘Malone’ na Vincent Barnabas/Ally Mohamed 'Gaucho'. (picha: BongoStaz blog)
JKT Ruvu 0-2 Simba SC

Mtibwa Sugar 3-0 Yanga SC

African Lyon 1-0 Polisi Moro

Ruvu Shooting 2-1 Mgambo JKT

Prisons 1-1 Coastal Union

Kagera Sugar 0-0 JKT Oljoro

Toto Africans 2-2 Azam FC 
Picture
Yanga SC leo iliundwa na: Ally Mustafa ‘Barthez’, Juma Abdul, , Mbuyu Twite/Kavumbangu, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Athumani Iddi ‘Chuji’, Frank Domayo/Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Said Bahanuzi, Hamisi Kiiza na David Luhende/Stefano Mwasyika. (picha: BongoStaz blog)
Picture
Simba ambao walicheza mchezo kwa dakika nyingi baada ya mshambuliaji wao tegemeo Emmanuel Okwi kutolewa nje kwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza cha mchezo, walipata mabao yao kutoka kwa kiungo Amri Kiemba aliyefunga bao la kwanza na Haruna Moshi Boban aliyepiga kidude cha pili. (picha: ShaffihDauda.com) Simba SC leo iliundwea na: Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Amir Maftah, Shomary Kapombe, Juma Nyosso, Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba, Haruna Moshi ‘Boban’, Daniel Akuffo, Mrisho Ngassa na Emanuel Okwi. (Maelezo: BongoStaz blog)

MECHI ZIJAZO:

Septemba 22, 2012
Yanga SC Vs JKT Ruvu (Taifa, Dar es Salaam)
Azam FC Vs Mtibwa Sugar (Chamazi, Dar es Salaam)
JKT Oljoro Vs Polisi Morogoro (Amri Abeid, Arusha)
Coastal Union Vs Toto Africans (Mkwakwani, Tanga)

Septemba 23, 2012
Mgambo JKT Vs Kagera Sugar (Mkwakwani, Tanga)
Simba SC Vs Ruvu Shooting (Taifa, Dar es Salaam)
African Lyon Vs Prisons (Chamazi, Dar es Salaam)

source: BongoStaz blog (bofya kusoma na kutizama picha zaidi)
Picture
Mabasi mawili ya kisasa ambayo yatakabidhiwa kwa Klabu za Simba na Yanga yakiwa yameegeshwa katika viwanja vya aofisi za Kampuni ya Bia Tanzania kabla hayajabandikwa nembo za Kilimanjaro Premium Lager na za klabu husika tayari kwa hafla ya makabidhiano Ijumaa TBL Ilala.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Kudadadadadaki!Yanga hureeeeeeeeee!
    Kizuri zaidi mabao yote hayo yalipitia upande wa KIBONDE Twite! hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Kudadadadaki TWITE!

    ReplyDelete
  2. Naam Yutong za nguvu haswa!

    ReplyDelete
  3. Magari na matokeo ya jana wapi na wapi ? Hongera TBl kwa kudonate mabasi.sijui kama viongozi wa hizi timu watajifunza chochote hapa.Ombi langu tu hasa wazee wa msimbazi.chonde chonde tusilione basi hili likipiga tripu za Mbagala - Ikwiriri ..mtaua

    ReplyDelete
  4. Ankal hii itakuwa ni hujuma (tena nahisi ya kisiasa) anafanyiwa mwenyekiti wetu Yusuf Manji...haiwezekali ankal usajili tufanye wa nguvu halafu mambo yawe hivi...tafadhal ankal muweke hadharani huyo anayemhujumu mwenyekti wetu hapa..au kama utashindwa nipe nafasi nimuweke hadharani ili ajue wanayanga tunamfahamu fika anachotufanyia...mdau sweden

    ReplyDelete
  5. Ina maana hayo mabus yametolewa kwa Simba na Yanga tu, klabu nyingine nazo vp? Ndo maana soka letu halikui kwa kupendelea hao vibonde wawili.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...