Naibu Waziri wa Uchukuzi  Dk Charles Tizeba akiweka saini katika kitabu cha wageni katika Stesheni ya Gulwe akishuhudiwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Joel Bendera kulia , Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra  Alhaj Ahmad S.K.Kilima wa pili kushoto na Stesheni Masta wa Gulwe Nd. Hassan Idiru wa katikati  anayetabasamu.
  Mhe Joel Bendera Mkuu wa Mkoa wa Morogoro akimkaribisha  Naibu Waziri wa Uchukuzi  Dk Charles Tizeba ( wa tatu  kulia) wakati wa kupanda viberenge  umewadia kwenda katika ukaguzi wa reli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...