Meneja Chapa na Matangazo wa Benki ya NBC, Arden Kitomari (katikati, waliokaa) akitoa maelezo wakati wa droo ya pili ya promosheni ya Dabo Mshiko Wako na NBC jijiji Dar es Salaam leo.
Wateja 10 wa benki hiyo walijishindia viwango mbalimbali vya fedha kutokana na kiasi cha akiba walichojiwekea katika akaunti zao. Wengine ni maofisa wa NBC, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (GBT) na kutoka Selcom Wireless.
Meneja Chapa na Matangazo wa Benki ya NBC, Arden Kitomari (katikati, waliokaa) maofisa wa NBC, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (GBT) na wa kutoka Selcom Wireless wakiangalia majina ya washindi wa droo ya pili ya promosheni ya Dabo Mshiko Wako na NBC jijiji Dar es Salaam leo. Wateja 10 wa benki hiyo walijishindia viwango mbalimbali vya fedha kutokana na kiasi cha akiba walichojiwekea katika akaunti zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...