Bi. Harusi Mtarajiwa,Elinita Kristine Mhando (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mumewe mtarajiwa,Bw. Sunday Shomary wakati wa hafla ya Send Off inayofanyika hivi sasa katika ukumbi wa Kiramuu hall Mbezi Beach,jijini Dar es salaam. 

Picha zaid zitawajia baadae kidogo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Bw Shomary hongera sana. Tangu tuonane Upanga leo umeamua kufanya kweli. Mungu akubariki muwe na nyumba yenye amani, furaha na upendo. Kaka yako Mnzava

    ReplyDelete
  2. Sunday hongera sana kamanda, bali hili jina la Mhando ndio una bahati nalo maana before ulikuwa na Mhando. Wabondei wamekupenda na ww umewapenda mwenyezi mungu akubariki muwe na ndoa yenye fuhara, upendo na amani. Amen

    ReplyDelete
  3. Sunday kumbe ulikuwa bado upo upo. Nakumbuka ulikuwa mbele yangu pale Forodhani....mimi nilishavuta jiko loooong time kitambo

    ReplyDelete
  4. Ukweli unabaki kuwa kulingana na wimbi halisi la maisha yalivyo kwa sasa Jambo la ndoa ni patapotea!

    Usije ukamuona mtu amechelewa kuingia ktk ndoa ukajenga imani labda jamaa sio kamili au ana walakini, kumbe pana mambo kama haya:

    1-Unaweza kuingia mkenge ukaja juta kwa kumpata mtu asiyekuwa sahihi ukabaki kujutia maisha!

    2-Mahusiano mengi kwa sasa (hayapo kwa mapenzi ya dhati na ukweli) bali yapo kimaslahi zaidi na ndio maana mabadiliko ya kihali yakitokea ndio mwanzo wa mifarakano na kupelekea kulega lega na kuvunjika kwa mahusiano.

    Mfano mabadiliko chanya au hasi yajaweza kuvunja mahusioano na ndoa.

    -Kama kipato kikiongezeka watu wanaweza kupata tabia tofauti na walivyokuwa mwanzoni wakiwa hawana kitu ambapo waliweza kuishi vyema.

    -Kama kipato kikipungua au kuondoka (pia kuingia kwa matatizo kama maradhi) ndio kabisa mifarakano inatokea na mahusiano na ndoa kuvunjika.

    3-Mwenza mwema naandaliwa na Mwenyezi na wala sio kupitia Uratibu na mipango ya watu wanavyotaka.

    CHANGAMOTO KTK MAHUSIANO KWA MAISHA YA SASA NI KUBWA MBELE YATU,

    MUNGU ATUSAIDIE!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...