Wafanyakazi wa kiwanda cha Bia cha (TBL) kanda ya kaskazini na wadau wa bia jijini Arusha wakigonganisha chupa wakifurahia kwa pamoja mara baada ya kuzinduliwa kwa bia mpya ya FARU jijini Arusha,hivi karibuni.
Wafanyakazi wa kiwanda cha Bia cha (TBL) kanda ya kaskazini wakifurahia uzinduzi wa bia hiyo mpya aina ya FARU.
Meneja Masoko wa TBL,Bi. Natalia Celeni (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Meneja Mauzo wa TBL wa kanda ya kaskazini,Kasiro Msangi (kulia) mara baada ya kufanyika kwa uzinduzi wa kinywaji kipya cha Kampuni hiyo kinachojulikana kwa jina la FARU .Uzinduzi huo umefanyika jijini Arusha hivi karibuni.
Meneja Masoko wa TBL,Bi. Natalia Celeni (kulia) akiyarudi magoma sambamba na Meneja Mauzo wa TBL wa kanda ya kaskazini,Kasiro Msangi wakati wa kusherehekea uzinduzi wa Bia Mpya ya FARU.
Wafanyakazi wa kiwanda cha Bia cha (TBL) kanda ya kaskazini na wadau wa jijini Arusha wakiyarudi magoma kwa pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...