Padre Kalaso (kati) wa Kanisa la Familia Takatifu Parokia ya Ipuli, Tabora, akishuhudia Bwana Allen Munene akimvalisha pete bibi Veronica Stima wakati walipomeremeta  kanisani hapo na kufuatiwa na mnuso wa nguvu  katika ukumbi wa chuo cha Utumishi wa Umma Uhazili, Tabora.
Bibi Veronica Stima akimvalisha pete mumewe Allen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...