Mhe. Mathias Chikawe (Mb) Waziri wa Katiba na Sheria (kushoto) akitembelea majengo mapya ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (Law School of Tanzania) yaliyoko katika kiwanja Na 2005/2/1, Sinza, Barabara ya Sam Nujoma/Barabara ya Mpakani. Kushoto kwakke ni Mkuu wa Taasisi Hiyo Mheshimiwa Judge Dkt. Gerald Ndika.
Home
Unlabelled
WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA NA NAIBU WAKE WATEMBELEA MAJENGO MAPYA YA TAASISI YA MAFUNZO YA UANASHERIA KWA VITENDO (LAW SCHOOL OF TANZANIA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...