Mfanyabiashara  maarufu  mkoani Iringa na kada wa chama cha mapinduzi (CCM) Salim Abri Asas ( wa pili  kulia) akikabidhi msaada wa  mifuko 200 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 3 .2 kwa mkuu wa wilaya ya Kilolo Bw Gerald Guninita hivi karibuni ofisini kwake,  wanaoshuhudia ni mwenyekiti  wa Halmashauri ya Kilolo Joseph Mhumba ,kushoto na mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilolo Momahend Gwalima
wadau  wa elimu  wilaya ya  Kilolo  wakiwa na mfanyabiashara  Salim Asas,picha kwa hisani ya mdau Francis Godwin-Iringa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mmmh kwani mifuko 200 ni mil 3 kweli.... wasaruji bei gani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...