Mhitimu wa Shahada ya CPA ya  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu  ( NBAA)  , Gloria Joel Bendera , akipongezwa kwa kuoena mikono na Mgeni rasmi  Naibu Waziri wa Fedha , Janet Mbene  , baada ya kkumtunuku Shahada yake wakati wa Sherehe ya Mahafali ya 34 ya Bodi  hiyo yaliyofanyika Oktoba 6, 2012 kwenye viwanja vya Mhasibu , Barabara ya Biti Titi Momamed, Dar es Salaam.
 Baadhi ya wahitimu wa  mahafali ya 34 ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu  ( NBAA)  wakifurahia jambo wakati wa mazungunzo yao baada ya kutunikiwa Shahada ya CPA,  Oktoba 6, mwaka huu na Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha , Janet Mbene ( hayupo pichani)  katika  viwanja vya Mhasibu , Barabara ya Biti Titi Momamed, Dar es Salaam , Naibu Waziri huyo pia aliwatunukia wahitimu wengie vyeti .
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kati kati ) na Mkewe mama Bendera akiwa katika  picha na mtoto wao,  Gloria Bendera , baada ya kutunikiwa Shahada ya CPA , Oktoba 6, 2012 wakati wa  mahafali ya 34 ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu  ( NBAA) ,Mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Waziri wa Fedha , Janet Mbene ( hayupo pichani) kwenye  viwanja vya Mhasibu , Barabara ya Biti Titi Momamed, Dar es Salaam.
 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( wapili kutoka kulia) akiwa  katika  picha na  baadhi ya wahitimu wa  mahafali ya 34 ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu  ( NBAA) wakiwa mtoto wake , Gloria Bendera ( watatu kulia mwenye mkoba mkononi)  baada ya kutunukiwa Shahada na Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha , Janet Mbene ( hayupo pichani)  Oktoba 6, 2012 katika  viwanja vya Mhasibu , Barabara ya Biti Titi Momamed, Dar es Salaam.
wadau wakifurahia Nondozzz zao. Picha zote na John Nditi wa Globu ya Jamii, Morogoro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mahafali haya alikuwa ni Glory Bendera pekee yake?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...