Home
Unlabelled
Harusi ya Sunday Shomari na Eliminita ilivyonoga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sunday Hongera sana, Hii ni Babu kubwa!! Mdau Canada
ReplyDelete
ReplyDeleteJamani napakumbuka sana nyumbani Tanzania kwa kuangalia harusi kama hizi nacheka sanaaaa watu wanaserebuka bila hata discipline
sijui ukifanya huku itakuaje
ReplyDeleteBi harusi ange vaa decent kidogo
yaani mabega nje nje mpaka raha yaani nauhakika kama ni ndo ya kanisani haku vaa hvyo kanisani
Shomari na mwenzio nawapaongeza mlivyoyarudi mayenu. Nadhani ni sahihi kwani siku yenu kubwa. Binafsi nilipatwa na utata kucheza kwa nguvu kweney wedding yangu, kwani sikuju kama itakuwa noma au la, lakini nilivyoona ngoma za kihaya zinapigwa, nilitamanai niingie niruke(jiachie) bila kujali, ila nikabana. naona wenzangu hamjabana kabisa..hongereni sana na Mungu awape maisha mema.
ReplyDeleteOmuburi
Hongera pacha/mdogo wa Netiwe kwa kupanda altareni..wish u get fruit of the womb as soon as God wishes..Netiwe how r u?miaka mingi jamani umenenepa..Chacha Maginga nae ni part of the family ya kina Mhando?
ReplyDeletemie napenda ua na shela zikiwekwa pembeni wakati wa reception, hii imekuwa style sana sasa.
ReplyDeleteNimeziona hapo Dar pia, hongereni.
Hongereni sana Mr.and Mrs.
ReplyDeleteAll the Best ndugu yetu Sunday Shomari na Shemeji yetu Eliminita Muhando !
ReplyDeleteMwenyezi atawabariki ktk maisha yenu!!!
ILIPENDEZA SANA
ReplyDelete