Hukumu ya Kesi ya mauaji ya Marehemu Swetu Fundikira inayowakabili askari jeshi Sajent Rhoda Robert, Koplo Ally Ngumbe na Mohamed Rashidi inatarajiwa kusomwa leo Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es salaam.
Washtakiwa hao watatu wanadaiwa kuwa siku ya Jumamosi tarehe 23 Januari, 2010 walimpiga bila huruma Swetu Fundikira katika maeneo ya Kinondoni katika makutano ya barabara za Mwinjuma na Kawawa jijini Dar es salaam mpaka kusababisha kifo chake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...