Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Uafiti au ulaji wa fedha ya mfadhili?

    ReplyDelete
  2. Kweli tupu, hongera kwa kuliona hilo ila nadhani wahusika bado wamelala na tunadidimia kweli kweli.

    ReplyDelete
  3. Hapa umenena...kama kawaida yetu sisi masikini...lakini kumbe ni masikini wa mawazo tafiti kibao lakini hazifanyiwi kazi zinaozea library! Badala ya kujiuliza hizi tafiti zinasema nini...na bado tutaendelea kufanya tafiti nyingi zaidi na zaidi utekelezaji kushnehi...maana tafiti nazo ni moja ya vigezo vya kupata senti lakini inapofika kwenye kuzitumia kila mtu anatia mikono kwenye mifuko ya suruali

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...