Rais mstaafu wa Tanznia Mh. Mkapa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kikundi cha Upendo cha Ubeligiji na Mh. Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Kamala
Raisi mstaafu wa Tanzania Mh. Mkapa akiwa katika picha ya pamoja na familia ya balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr Kamala
Baadhi ya viongozi wa Jumuyia ya watazania Ubeligiji na Uholanzi wakiwa katika picha ya pamoja na Rais msatafu wa Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa pamoja na balozi wa Tanzania Ubelgiji Mh. Dr Kamala. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. DIO umekuwa bonge kweli.(Ankal,namuheshimu sana Doctor lakini tulizoea kumuita hivyo sekondari,atafurahi kusikia hili jina-weka protocol pembeni kwanza!!).Tuwasiliane mkuu,ni mimi mwanachama mwenzio wa T.Y.S 'Bukoba Seko'1987-1988.Tuwasiliane hapa Doctor- fridokazadi@gmail.com unipe maisha aise.Si mchezo.

    ReplyDelete
  2. DKT Kamala ni mpiganaji mwema sana. Atakumbukwa akiwa Mbunge wa Misenyi na Waziri aliyetumikia kwa uwezo wake wote dhamana ya Afrika Mashariki. Jumuiya imeona pengo lake lisilozibika. 6 anajitahidi lakini kamwe hamfikii Diodorous Buberwa Kamala P. Kiongozi aliyeshinda nafasi zote za uongozi shuleni akagawa nyengine; na moja alimpatia naliendele

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...