Wanamichezo wa Sheria Sports Club wakiwa kewnye maandamano wakati wa sherehe za kufunga michezo ya SHIMIWI katika uwanja wa Jamhuri  Mkoani Morogoro Jumamosi 
 Mshindi wa tatu wa mchezo wa bao kwa wanawake Bibi Salome Sumbi kutoka Sheria Sports club akipokea kombe la ushindi huo kutoka kwa mgeni rasmi
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Moses Chitama (aliyeshika kombe) akifurahi na wanamichezo wa Sheria Sports Club mara baada ya mshindi wa tatu wa mchezo wa bao kwa wanawake Bibi Salome Sumbi (wa kwanza kushoto kwa Bw. Chitama) kukabidhiwa kombe hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...