Mkurugenzi wa Kampuni ya Unique Entertainment,Methuselah Magese (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza rasmi uzinduzi wa Shindano la kumsaka mwanamitindo mwenye vigezo vya kipekee nchini Tanzania (Unique Model),uliofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hollyday Inn,jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Fedha wa Kampuni hiyo,Happy Mushi na kulia ni Mkuu wwa Itifaki wa Unique Model,Mariam Khamis.
Timu nzima ya Kampuni ya Unique Entertainment.Kutoka kushoto ni Ofisa Mipango wa Shindano,Hyassintier Julius,Mkuu wa Kitengo cha Fedha wa Kampuni hiyo,Happy Mushi,Mkurugenzi Mkuu,Methuselah Magese,Mkuu wwa Itifaki wa Unique Model,Mariam Khamis na kulia ni Mwalimu wa Dansi wa Shindano hilo,Denis Lucas.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...