Rappa wa Skylight Band SONY MASAMBA akikonga nyoyo za mashabiki wa bendi hiyo ambao wanapata flava za muziki wa kila aina kuanzia Dancehall, Reggae, R & B, Azonto, Sebene na nyinginezo bila kusahau Kwaito kwenye kiota chao cha Thai Village, Oysterbay, jijini Dar es salaam kila Ijumaa.Kushoto ni Rappa mwenzake Joniko Flower.
Home
Unlabelled
Sklight band yaendelea kuwasha moto that village kila ijumaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...