Wakala wa Vipimo ni taasisi chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara na kazi yake kuu ni kuhakikisha kuwa vipimo vyote vinavyotumika katika biashara ni sahihi.
Maonesho hayo ni kuanzia tarehe 29/10/2012 hadi tarehe 4/11/2012 katika viwanja vya Mnazi mmoja.
Wananchi wakipata elimu ya vipimo
Waandishi wa habari wakiuliza maswali kuhusiana na
majukumu ya Wakala wa vipimo
Mgeni rasmi akiendelea kupata maelezo kuhusiana na
majukumu ya Wakala wa Vipimo
Afisa Vipimo Mkuu Bi. Zainabu Kafungo, akielezea majukumu ya Wakala wa
Vipimo kwa Mgeni rasmi mama Tunu Pinda , mara alipotembelea banda la Wakala wa Vipimo
wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...