Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimia na Miss Tanzania 2011,Salha Israel alieambatana na timu nzima ya Warembo wa Redd's Miss Tanzania 2012 kwenye ziara ya kutembelea mikoa ya Kanda ya Kaskazini,wakati waliofika Nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu,Monduli leo kumsalimia na kupata baraka zake kwenye mashindano hayo.Kuli ni Mkurugenzi wa Rino Agency na Muandaaji wa Miss Tanzania,Hashim Lundenga na wa pili kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiendelea kuzungumza na Warembo hao.
Mkurugenzi wa Rino Agency na Muandaaji wa Miss Tanzania,Hashim Lundenga akifafanua jambo kwa Mh. Lowassa na Mama Regina Lowassa.
Warembo wa Redd's Miss Tanzania wakiwa wamevalia mavazi ya Kimasai.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa na Mkewe Mama Regina Lowassa wakiwa kwenye picha ya pamoja na Warembo wanaowania Taji la Redd's Miss Tanzania 2012 pamoja na Viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania. 

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZINGINE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kwanini,wakati wa mashindano,hawa warembo wasiwe wanavaa hili vazi badala ya vich*p*??

    David V

    ReplyDelete
  2. mdau hapo juu unafikiri nani atawachagua ikiwa watajifunika hayo mashuka?

    watu wanataka waone makalio na vikwapaz ndio wachague mrembo anaelipa.

    ReplyDelete
  3. Hongera!Hongera! warembo wote. Mambo na changamoto zote,lakini huwezi kuwacha na kupenda na jitihanda anao fanya Mh. Lowassa kwenye uongozi wake. Songa Mbele Mh. Lowassa. Viongozi wa kweli wano jali nchi hata kama wana makosa wana julikana tu.

    ReplyDelete
  4. Inapendeza kuona mnaonana na Rais ajaye, this is the president ,Rais anatakiwa awe strong kama MH. LOWASA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...