Washindi wa mashindano ya Kimataifa ya mashua wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa zawadi zao jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Castle Lite.
Mkurugenzi
wa Masoko wa TBL, Kushilla Thomas (wa pili kulia) akiwa na washindi wa
kwanza wa mashindano ya kimataifa ya mashua kutoka Uholanzi, Frank De
Waared na Gunnar Larsen katika hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi
hao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Zawadi ambazo walipewa washirindi wa mashindano hayo.
Baadhi ya wageni waalikwa kwenye maonyesho hayo.
Meneja Masoko wa TBL, Matalia Celani (kushoto) akiwa na rafiki yake.


Waswahili mbona hampo? au mlikuwa ma waiter?
ReplyDeleteWaswahili walikua kazi yao kushangilia na kusaidia kuzitoa mashua baharini
ReplyDeleteWaswahili hawana maboti wako bizi kuonea wenzao.
ReplyDeleteWaswahili hapa hatuna chetu ktk michezo hii ya maji!
ReplyDelete,,,Sisi angalau wangeleta Kukimbiza Mbuzi, Kukumbiza kuku ama Bao ambapo watu wanasafiri wakiwa wamekaa chini, huku wakiuza maduka wakati wakiwa wamechacha na Mtaji wenyewe hawana ikiwezekana wanadiwa kwa Madeni kibao!
Ama kweli safari ya kwenda shamba kulima imewadia!
ReplyDeleteIna maana Meneja wa Masoko TBL ameajiriwa Mgeni ina maana amekosekana mtoto wa 'Mzee Mbonde' yule aliyehitimu 'Manzese' pale kweli?