Washindi wa mashindano ya Kimataifa ya mashua wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa zawadi zao jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Castle Lite.
Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, Kushilla Thomas (wa pili kulia) akiwa na washindi wa kwanza wa mashindano ya kimataifa ya mashua kutoka Uholanzi, Frank De Waared na Gunnar Larsen katika hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi hao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Zawadi ambazo walipewa washirindi wa mashindano hayo.
 Baadhi ya wageni waalikwa kwenye maonyesho hayo.
Meneja Masoko wa TBL, Matalia Celani (kushoto) akiwa na rafiki yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Waswahili mbona hampo? au mlikuwa ma waiter?

    ReplyDelete
  2. Waswahili walikua kazi yao kushangilia na kusaidia kuzitoa mashua baharini

    ReplyDelete
  3. Waswahili hawana maboti wako bizi kuonea wenzao.

    ReplyDelete
  4. Waswahili hapa hatuna chetu ktk michezo hii ya maji!

    ,,,Sisi angalau wangeleta Kukimbiza Mbuzi, Kukumbiza kuku ama Bao ambapo watu wanasafiri wakiwa wamekaa chini, huku wakiuza maduka wakati wakiwa wamechacha na Mtaji wenyewe hawana ikiwezekana wanadiwa kwa Madeni kibao!

    ReplyDelete
  5. Ama kweli safari ya kwenda shamba kulima imewadia!

    Ina maana Meneja wa Masoko TBL ameajiriwa Mgeni ina maana amekosekana mtoto wa 'Mzee Mbonde' yule aliyehitimu 'Manzese' pale kweli?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...