Maofisa wa Benki ya NMB,Kutoka kushoto ni Monica Job,Simon Kameta na Germa Massae wakiwapa maelezo wananchi waliotembelea katika Banda lao kwenye Maonyesho ya Shule Tanzania.
Maofisa wa Benki ya NMB,Kutoka kushoto ni Monica Job,Simon Kameta na Germa Massae wakiwapa maelezo wananchi waliotembelea katika Banda lao kwenye Maonyesho ya Shule Tanzania.
Maofisa wa Benki ya NMB,Kutoka kushoto ni Monica Job,Simon Kameta na Germa Massae wakiwapa maelezo wananchi waliotembelea katika Banda lao kwenye Maonyesho ya Shule Tanzania.
Wakazi wa Dar es salaam wakipata maelekezo kutoka kwa Maofisa wa Kampuni ya Mantra Tanzania Ltd,Kutoka kushoto ni Thobias Otaru na Nicholaus Masabo (wa pili kushoto),wakati wa Maonesho ya Shule yanayofanyika Jijini Dar es Salaam.
Wakazi wa Dar es salaam wakipata maelekezo kutoka kwa Maofisa wa Kampuni ya Mantra Tanzania Ltd,Kutoka kushoto ni Thobias Otaru na Nicholaus Masabo (wa pili kushoto),wakati wa Maonesho ya Shule yanayofanyika Jijini Dar es Salaam.
Banda la Mantra Tanzania Ltd kwenye Maonesho ya Shule Jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...