Unapotaka kujiunga FFU ughaibuni, lazima ulijue gwaride!
Mkataa Jadi ni mtumwa ! Warabu Wamatumbi wakijipa mazoezi ya mdundo wa Bongo Tambarare
Warabu wenye Asili ya Kimatumbi waliposikia uwendawazimu wa kamanda Ras Makunja wa FFU wa Ngoma Africa band lazima ataingiza gwaride la FFU katika mwendo wa "Bongo Tambarare". Warabu hao wenye asili ya kimatumbi
nao wameanza kufanya mazoezi ya gwaride, kwa msemo wa mkataa jadi ni mtumwa - Ras Makunja
Home
Unlabelled
Gwaride la waarabu wenye asili ya kimatumbi balaa!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Hawa bwana hawalijui gwaride la Ras Makunja
ReplyDeleteMbona midundo ya ngoma kama ya kikwetu?
ReplyDelete