Reserve Bank of India (RBI) imeiandikia
serikalli ya nchi hiyo kuitaka ijipange upya
au irekibishe baadhi ya sheria ili benki inayofuata sheria za kiislam
iweze kufanya kazi zake kwa ufanisi.
Akizungumzo hayo governor wa benki hiyo
Bw. D, Subbarao amesema ‘benki zinazofuata sharia za kiIslam zimeruhusiwa ktk
nchi nyingi duniani, lakin sharia za India hazifanani na zile zinazofuata sheria
ya kiIslam kwasababu benki hizo zinakopeshwa kwa riba wakati zinapokopa kutoka
kwa RBI. Ispokua tuko ktk mazungumzo na serikali ili iweze kuruhsu benki hizo
kufanya kazi zake kwa ufanisi nchini India’.
Itakumbukwa kwamba serikali ya Uingereza ilibalisha
sheria ya kodi mwaka 2003 ili iweze kuziruhusu bemki za kiIslam kufanya kazi
zake kwa ufanisi. Mpaka mwaka 2003 Mortgage inayofuata sheria za kiIslam
kilikua ni kitu hakifahamiki vizuri nchini uingereza, kwa sababu ilikua
ikitozwa kodi mara mbili na kuifanya iwe ghali zaidi kuliko mortgage za benki
zisizokua za kiIslam. Kwa mfano, hilo linatokea wakati banki inaponunua nyumba
kwa malengo ya kumuuzia mteja. Benki inatoa kodi wakati inaponunua jingo kutoka
either kwa benki nyingine au kwa mteja na kodi hiyo inatolewa tena wakati benki
itapoiuza nyumba hiyo kwa mteja kwa kutumia kitu kinachojulikana kama
(Murabaha). Biashara hiyo ni lazima ifanyike mara mbili kama biashara tofauti
ili iweze kua halali kwa sharia za kiIslam.
Baada ya kufahamishwa the Chancellor of the
Exchequer kuhusu swala la benki hizo kutoa kodi hiyo marambili, sheria
ilibadilishwa kwa benki za kiIslam na zikaruhusiwa kutoa kodi hiyo mara moja
tu. Tangu kubadilishwa kwa sheria hiyo benki kubwa kama vile HSBC na the Lloyds
TSB walianza kutoa mortgage zinazofuata sheria za kiIslam. Kwa maelezo zaidi
wasiliana na http://ijuebankyakiislam.blogspot.com



KANUNI YA KIFEDHA YA KIISLAMU YA KWA KIWANGO CHA RIBA KUWA 0% HAINA MPIANZANI KTK BENKI KUU ZOTE DUNIANI.
ReplyDeleteMSILETE UBISHI HADI MASHIRIKISHO YOTE YA KIDUNIA KAMA UN, IMF, WORLD BANK NA DEVELEOPMENT PARTNERS WOTE WANAIKUBALI!!!
SASA IWEJE WEWE ''SAMSONI DELILA'' WA TANZANIA UNAIKATAA, NAKUDAI NI KULETA UDINI???