Mwanamuziki nguli wa dansi Barani Afrika, JB Mpiana (mwenye kofia) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumzia onyesho lake litakalofanyika siku ya Ijumaa katika viwanja vya Leaders Club.
Home
Unlabelled
JB Mpiana kukonga nyozo za wapenzi wa lingala jijini Dar ijumaa hii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


JB mpiana miaka ya katikati alikua maarufu sana na nyimbo zake ndani ya bongoland.
ReplyDeletePapa mukulu ndani ya jiji siwezi kosa hii. Ashante kwa dogo
ReplyDeleteWabongo wamejanjaruka siku hizi, hawababaikii kabisa wakongo kama ilivyokuwa zamani, Bongo Fleva imeua soko la wakondo.
ReplyDeleteHAYA BWANA SISI TUNAWALILIA WASANII NYIE BURUDIKENI.
ReplyDelete