Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete  na viongozi wa juu baada ya kuwasili katika ukumbi wa Kizota mjini Dodoma  kufungua Mkutano mkuu wa nane wa CCM, leo.

 Makamu Mwenyekiti Mteule wa CCM (Bara), Phili Mangula (kulia) akiungana na wanachama wengine kushangilia Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete alipoingia ukumbini wakati wa mkutano huo


 Baadhi ya wajumbe ukumbini


 wake wa viongozi


 Waaliwa kutoka kutoka nchi za nje


 Waalikwa kutoka vyama vya siasa hapa nchini


 Wajumbe wakiwa wamesimama wakati wa wimbo wa Taifa kabla ya kuanza mkutano huo















Watu waliokuwa nje ya ukumbi wakifuatilia kwenye banda maalum
Kusoma hotuba kamili ya Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Si fahamu mengi Kama hi ilikuwa agenda na ili kuwa siyo muhimu wa vingozi kuni sadia basi CCM nidyo imekosa. Nita rundi nyumbani kutumia institution za dini, msikiti wangu siyo tena serikali au chama. Uchawi ume kwisha. Tanzania songa mbele.

    ReplyDelete
  2. Mdau wa kwanza hapo juu hujaeleweka.

    Hongera karume naona leo kwa mara ya kwanza ametinga shati la kijani. Ila my wife wake naona hajatinga kijani. Unajua kijani inaonyesha msisitizo kwamba wewe ni kada wa ukweli.

    Kila la kheri wana CCM.

    Mdau Chole Samvula

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...