Mdau Ruger Kahwa ambaye ni mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya United Nations Office for Coordinations of Humanitarian Affairs nchini Papua New Guinea akisalimiana na mwakilishi wa ubalozi wa Japan na pembeni yake ni Sir Henry Chow wakati wa maadhimisho ya miaka 67 tangu Umoja wa Mataifa uanzishwe. Sherehe hiyo ilifanyika mjini Port Moresby – Papua New Guinea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...